Posts

Showing posts with the label soccer news

CHELSEA WAIPIGA CRYSTAL PALACE TATU BILA (3-0)

Image
TAZAMA MAGOLI YOTE HAPA   USISAHAU KULIKE PAGE YETU YA FACEBOOK NA PIA COOMMENT YAKO NI MUHIMU

MATOKEO LIGI KUU ENGLAND LEO

Image

RATIBA YA MECHI ZA KESHO NA KESHOKUTWA LIGI KUUU ENGLAND HII HAPAAAA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Image

MSIMAMO WA LIGI KUU BAADA YA MECHI ZA JANA NA JUZI

Image

MECHI ZA LEO LIGI KUU ENGLAND

Image

Tiger Woods kurejea uwanjani

Image
Mwanamichezo nguli aliyewahi kuwa mcheza golf namba moja duniani Tiger Woods, amesema kwamba ana matarajio ya kushinda michuano mikubwa zaidi katika kipindi cha miaka kumi ijayo. Woods, ambaye mwishoni mwa mwezi huu atatimiza umri wa miaka 40, amedondokea katika nafasi ya 414 katika viwango vya ubora wa mchezo wa golf duniani na alishinda taji lake la 14 kwa mara ya mwisho mnamo mwaka 2008. Tiger aliwahi kufanyiwa upasuaji wa mgongo mwezi September mwaka huu hiyo ikiwa ni mara ya pili katika kipindi cha miezi 18 lakini ana matarajio ya kucheza kwa ufanisi zaidi mwanzoni mwa mwaka mpya wa 2016. "Najiona wapi binafsi katika kipindi cha miaka mitano ama kumi ijayo? Alinukuliwa Tiger akisema na kuongeza kwamba bado ninao uwezo wa kucheza golf katika kiwango cha ubora wa hali ya juu na kushinda katika michuano mikubwa na kutwaa tuzo" na haya aliyaandika katika tovuti yake binafsi pia. Woods amejiwekea rekodi ya kushinda katika mchezo wa golfu kwa wiki mia sita theman

Mapinduzi cup kuanza Januari 2

Image
Katibu Mkuu wa Chama cha Soka visiwani Zanzibar Kassim Haji Salum amesema Klabu za Gor Mahia ya kenya , KCCA ya Uganda , Yanga, Simba, Azam FC na Mtibwa sugar kutoka Tanzania Bara na Mafunzo na JKU kutoka visiwani Zanzibar ndio Timu zitakazoshiriki Mashindano ya Mapinduzi Cup Mashindano ambayo yanatarajiwa kuanza Januari 2 visiwani Humo.  Michuano ya Mapinduzi Cup itazisaidia Timu za Yanga, Azam FC, JKU na Mafunzo kujiandaa na Mashindano ya CAF ya Klabu Barani Afrika. Yanga watacheza michuano ya CAF Champion Ligi kwa kucheza mchezo wa mtoano na Timu ya Cercle de Joachim ya Mauritius wakati Azam FC watacheza na Mshindi kati ya Klabu ya Seychelles na Bidvest Wits ya Afrika Kusini katika Kombe la Shirikisho. Mafunzo ya zanzibar wao watacheza na klabu ya AS Vita ya Congo DR kwenye CAF Champion Ligi na Timu ya JKU itashiriki Kombe la Shirikisho pamoja na Gaborone United ya Botswana

Wachezaji 10 wanaoongoza kwa kutoa pasi za magoli Ligi Kuu Uingereza msimu huu

Image
hii ndio list inayongoza mpaka sasa

SUAREZ AIPELEKA BARCA FAINALI KATIKA KOMBE LA DUNIA LA VILABU

Image
Mshambuliaji Luis Suarez ameipeleka timu yake ya Barcelona, katika hatua ya fainali ya kombe la dunia la vilabu. Barcelona waliokua wakicheza dhidi ya Guangzhou Evergrande, walipata ushindi wa mabao 3-0 huku mshambuliaji nyota wa timu hiyo Luis Suarez akifunga mabao yote matatu. Suarez alianza kuandika bao la kwanza katika dakika ya 39 kisha akaongeza la pili dakika ya 50 na kuhitisha kazi kwa bao la tatu kwa mkwaju wa penati katika dakika ya 67. Barcelona watachuana na River Plate katika mchezo wa fainali itayofanyika desemba 20 katika uwanja wa Yokohama nchini japan

Mourhino afutwa kazi chelsea rasmi

Image
Meneja wa klabu ya Chelsea ya Uingereza amefutwa kazi baada ya klabu hiyo kuandikisha msururu wa matokeo mabaya. The Blues walishinda Ligi ya Premia msimu uliopita lakini msimu huu mambo yamekuwa kinyume, na wamo alama moja tu juu ya eneo la kushushwa daraja ligini. Bodi ya klabu hiyo ilikutana jana kujadili hatima ya Mourinho chini ya mmiliki wa klabu hiyo, Mrusi Roman Abramovich. Klabu hiyo kupitia taarifa imesema mkataba kati ya klabu na meneja hiyo umekatishwa kwa maelewano kati ya pande zote mbili na ikamtakia kila la kheri Mourinho. “Sifa zake Stamfrod Bridge na Uingereza zinajieleza na daima anakaribishwa kurejea Stamford Bridge,” klabu hiyo imesema kupitia taarifa. “Sasa tutaangazia kuhakikisha kikosi chetu kilichojaa wachezaji wenye vipaji kinafikia uwezo wake. Hakutakuwa na taarifa zozote zaidi kutoka kwa klabu hadi kocha mpya ateuliwe.” Bodi ya Chelsea yamjadili Mourinho Guardiola kuweka wazi hatima Mourinho: Naona aibu Mreno huyo mwenye umri wa mi

TP Mazembe WASHINDWA TENA JAPAN

Image
Mabingwa wa soka Afrika TP Mazembe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamecharazwa 2-1 na Club America ya Mexico katika michuano ya fainali za Kombe la Dunia la Klabu.  Mechi hiyo ilikuwa ya kuamua nani angemaliza nambari tano katika fainali hizo ambazo zinachezewa Japan. Dario Benedetto na Martin Zuniga walifunga mabao mawili kipindi cha kwanza na kuwaweka mabingwa hao wa Concacaf kwenye udhibiti wa mechi hiyo. Rainford Kalaba alikombolea mabingwa wa Afrika mechi moja zikiwa zimesalia dakika mbili kabla ya mechi kuisha. TP Mazembe yachapwa 3-0 Klabu Bingwa Duniani Samatta katika orodha ya 3 bora ya CAF Samatta, kijana anayevumisha soka ya Tanzania Lakini mabingwa hao hawakuweza kujikwamua na safari yao kwenye michuano hayo iliisha kwa masikitiko. Kabla ya mechi hiyo, Mazembe walikuwa wamechapwa 3-0 na Sanfrecce Hiroshima kutoka Japan hatua ya robofainali, kwenye mechi iliyochezewa mjini Osaka Jumapili.

UEFA YATAJA WAAMUZI 18 Euro 2016

Image
Kamati ya Marefa ya shirikisho la soka barani ulaya Uefa imeteua waamuzi 18 kwa ajili ya michuano ya ulaya itakayofanyika huko nchi Ufaransa mwaka 2016. Waamuzi hao watachezesha michezo 51 ya michuano hiyo ya ulaya itakayoanza kutimua vumbi kuanzia June 10 na kumalizika Julai 10 mwaka 2016. Katika kila mchezo mmoja watatumika waamuzi watano kama iliyokua katika michuano ya Euro ya mwaka 2012, kutakua na mwamuzi wa kati akisaidiwa na waamuzi wawili wa pembeni na wengine wawili katika kila goli. Orodha ya mwisho ya waamuzi watakaochezesha fainali hizo itatolewa mwezi Februari mwakani na kamati hiyo ya waamuzi.

MESSI NEYMAR NJE KIKOSI BORA UEFA

Image
Kikosi bora cha wachezaji kumi na mmoja kilichocheza hatua ya makundi ya michuano ya Klabu Bingwa Ulaya kimetangazwa na Uefa jambo la kushangaza likiwa kuachwa nje kwa nyota wa Barcelona Lionnel Messi, Neymar na Luis Suarez. Washambuliaji Cristiano Ronaldo (Real Madrid), Hulk (Zenit St Petersburg) pamoja na Thomas Muller (Bayern Munich) ndio wanaoongoza safu ya ushambuliaji, kikosi hicho kikitumia mfumo wa 4-3-3. Ligi Kuu ya Uingereza imetoa wachezaji wawili, sawa na ligi ya Ujerumani na ile ya Ufaransa. Mabingwa watetezi wa Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya Barcelona, hawajatoa hata mchezaji moja katika kikosi hicho licha ya kuwa na safu kiwembe ya ushambuliaji. Kikosi kamili ni: Kipa: Kevin Trapp (Paris Saint-Germain Mabeki: Andrea Barzagli (Juventus),Thiago Silva (Paris Saint-Germain), Diego Godin (Atletico Madrid), David Alaba (Bayern Munich) Viungo wa Kati: Sven Kums (Gent), Willian (Chelsea), Raheem Sterling (Manchester City) Washambuliaji: Thomas Muller (Bayern Muni

Thiery Henry ndiye mchambuzi wa soka kwenye TV anayelipwa fedha nyingi zaidi UK

Image
Mchezaji wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa, Thiery Henry ndiye mchambuzi wa soka anayelipwa fedha nyingi zaidi nchini Uingereza. Sky Sport wanamlipa pauni milioni nne kila mwaka katika mkataba wake wa miaka sita. Pamoja na kuwa nao, mkataba wake unamruhusu kufanya kazi hiyo na vituo vya runinga vingine.Tayari imefahamika kuwa BBC Sport wanatarajia kumtangaza kama mchambuzi wao wa European Championship.

TETESI ZA USAJILI BARANI ULAYA

Image
Dirisha la usajili wa majira ya baridi Ulaya la Januari linakaribia kufunguliwa timu nyingi zinajipanga kifedha kuhakikisha zinakuwa na nguvu ya kuingia sokoni. Arsenal ipo kwenye mazungumzo na nyota wa Kibrazili Arsenal wanajipanga kuanza mazungumzo na Palmeiras kuhusu uhamisho wa nyota Mbrazili mwenye umri wa miaka 18, mshambuliaji Gabriel Jesus. Chelsea & Spurs zamwania Berahino Chelsea na Tottenham zinamfuatilia kwa karibu sana Saido Berahino, zimekuwa zikichunguza mwenendo wake baada ya mshambuliaji huyo kucheza dakika zote katika kikosi cha West Brom umri chini ya miaka 21. Juve inajipanga kumsajili 'Pogba mpya' Juventus imekubali kufanya dili la kumsajili kiungo wa Modena, Emmanuel Besea. Kinda huyo mwenye umri wa miaka 18 ambaye anayetajwa kuwa Paul Pogba mpya atajiunga na klabu ya Juve kwa mkopo kwanza lakini ikipewa fursa ya kumsajili moja kwa moja. Palace inaisaka saini ya Batshuayi Crystal Palace inaandaa kitita cha paundi milioni 15 ku

MATOKEO YA UEFA CHAMPIONS LIGI

Image

MSIMAMO WA EUFACHAMPIONS LIGI ULIVYO KWA SASA

Image
UEFA Champions League View Full Table Home Away Group A Pos Team Team Pts P W D L W D L W D L GS GA +/- Pts 1 Real Madrid RMA 16 6 5 1 0 3 0 0 2 1 0 19 3 +16 16 2 PSG PSG 13 6 4 1 1 2 1 0 2 0 1 12 1 +11 13 3 Shakhtar Donetsk SHD 3 6 1 0 5 1 0 2 0 0 3 7 14 -7 3 4 Malmö FF MFF 3 6 1 0 5 1 0 2 0 0 3 1 21 -20 3 Group B Pos Team Team Pts P W D L W D L W D L GS GA +/- Pts 1 Wolfsburg WOB 12 6 4 0 2 3 0 0 1 0 2 9 6 +3 12 2 PSV PSV 10 6 3 1 2 3 0 0 0 1 2 8 7 +1 10 3 Manchester United MUN 8 6 2 2 2 2 1 0 0 1 2 7 7 +0 8 4 CSKA Moskva CSK 4 6 1 1 4 1 1 1 0 0 3 5 9 -4 4 Group C Pos Team Team Pts P W D L W D L W D L GS GA