Posts

Showing posts with the label Lryrics

Ben Pol – Moyo Mashine Lyrics

Image
Ben Pol – Moyo Mashine Lyrics [Verse 1] Najua kukikucha ntajuta kama nikikuta unanitania Maana moyo wangu nimekupa uweke Mimi ni mfungwa tena ni mjinga Nimejileta gerezani Tena sikuwaza ntakuwa mateka Mmh  [Pre-Chorus] Najua ulinizungusha sana Sijali huwa ni mambo ya ujana Kukupenda wewe sijuti Maneno yalisemwa mengi sana Kuna wakati nilikata tamaa Kukupenda wewe sichoki [Chorus] (Moyo mashine) Ila majibu ya upendo ulishakosa (Acha waseme) Nimekupendea nini (Moyo mashine) Ila majibu ya upendo ulishakosaga (Wacha waseme) Nimekupendea nini [Verse 2] Nafsi inanituma upendo uko nje ya maneno Ila vitendo Kama bubu akipenda atanena vipi kwa maneno Pasina vitendo? Kiziwi, hata ukimwambia “nakupenda” wata hasikii Ila vitendo oh Wewe sijui sababu za kukupenda Siwezi sema, ila utaona ah [Pre-Chorus] Najua ulinizungusha sana Sijali huwa ni mambo ya ujana Kukupenda wewe sijuti Maneno yalisemwa mengi sana

Ali Kiba – Aje Lyrics (ft. M.I)

Image
Ali Kiba – Aje Lyrics (ft. M.I)    [Verse 1 – Ali Kiba] Ucheshi na sauti Amenifanya nam miss tu Mwambie asiogope Ali ni kipenzi cha watu Ntafanya party nyumbani Hiyo yote kwa ajili yake Tena asije peke yake Asiogope aje na wenzake Ntafanya party nyumbani Hiyo yote kwa ajili yake Tena asije peke yake Asiogope aje na rafiki zake eh [Hook – Ali Kiba] Basi mwambie aje “aje” Oh aje “aje” Aje na rafiki zake “aje” Asije peke yake “aje” Oh aje “aje” Aje, oh aje “aje” Aje jamani aje “aje” Aje nam miss aje “aje” [Verse 2 – Ali Kiba] Uzuri wake timilifu Nshamuona na watu maarufu tu Kina Wema Sepetu Nikaomba namba bichwa akanishushua shuu! Ilinikosesha raha Lulu nae kandanganya Kwamba mi ni wa kwake Aniogope tena asinichekee Ilinikosesha raha Lulu nae kandanganya oh Kwamba mi ni wa kwake Aniogope tena asinichekee [Hook – Ali Kiba] Basi mwambie aje “aje” Oh aje “aje” Aje na rafiki zake “aje” Asije peke yake