WAZIRI WA KILIMO NA UFUGAJI MH.MWIGULU NCHEMBA AAGIZA WAKULIMA WA KOROSHO KULIPWA NDANI YA SAA 48
Get link
Facebook
Twitter
Pinterest
Email
Other Apps
Waziri wa Kilimo Uvuvi na Mifugo Mh.Mwigulu Lameck Nchemba atoa saa 48 kwa kampuni ya Sparkway ltd kulipa Billion 3.4 kwa wakulima wa korosho Mkoa wa pwani. Kufuatia agizo hio,Wakulima waliouza korosho hiyo wataanza kulipwa jumatatu ya tar.21.12.2015
Comments
Post a Comment