Posts

WATCH AND DOWNLOAD NEW VIDEO KUTOKA KWA DIAMOND-UTANIPENDA

[BOFYA HAPA KUDOWNLOAD]

DOWNLOAD&WATCH NEW VIDEO KUTOKA KWA BELL 9

Image
BOFYA HAPA KUDOWNLOD!!!!!!!!!

WATCH AND DOWNLOAD NEW VIDEO KUTOKA KWA JUX ONE MORE NIGHT

                                          DOWNLOAD HAPAAA!!!!!!!!!

TETESI ZA USAJILI BARANI ULAYA

Image
Dirisha la usajili wa majira ya baridi Ulaya la Januari linakaribia kufunguliwa timu nyingi zinajipanga kifedha kuhakikisha zinakuwa na nguvu ya kuingia sokoni. Arsenal ipo kwenye mazungumzo na nyota wa Kibrazili Arsenal wanajipanga kuanza mazungumzo na Palmeiras kuhusu uhamisho wa nyota Mbrazili mwenye umri wa miaka 18, mshambuliaji Gabriel Jesus. Chelsea & Spurs zamwania Berahino Chelsea na Tottenham zinamfuatilia kwa karibu sana Saido Berahino, zimekuwa zikichunguza mwenendo wake baada ya mshambuliaji huyo kucheza dakika zote katika kikosi cha West Brom umri chini ya miaka 21. Juve inajipanga kumsajili 'Pogba mpya' Juventus imekubali kufanya dili la kumsajili kiungo wa Modena, Emmanuel Besea. Kinda huyo mwenye umri wa miaka 18 ambaye anayetajwa kuwa Paul Pogba mpya atajiunga na klabu ya Juve kwa mkopo kwanza lakini ikipewa fursa ya kumsajili moja kwa moja. Palace inaisaka saini ya Batshuayi Crystal Palace inaandaa kitita cha paundi milioni 15 ku

SOMA KILICHOANDIKWA MAGAZETINI LEO TAREHE 11/12/2015

Image
SOMA HAPAAAAAA!!!!!!!!!!!!!

HILI NDILO BARAZA JIPYA LA MAAZIRI

Image
Jumla ya wizara ni 18 , Mawaziri ni 19. Wizara ya Mambo ya Nje na EAC/ Kimataifa - Augustino Mahiga, Naibu Waziri - Dk. Suzan Kolimba Wazara wa Utamaduni, Sanaa na michezoWaziri-Nape Nnauye Wizara ya Nishati na Madini Waziri -Sospeter Muhongo na Naibu Waziri-Medard Kalemani Wizara ya Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Waziri -Jenista Mhagama Wizara ya ofisi ya Rais, Utumishi na utawala mawaziri wawili - Simbachawene na Kairuki Ofisi ya Makamu wa Rais/Muungano na Mazingira Waziri - January Makamba Naibu waziri Luhaga Mpina . Wizara ya Mambo ya Ndani Waziri ni Charles Kitwanga Wizara ya Ardhi, Nyumba na Makazi Waziri wake ni Wiliam Lukuvi Naibu Angelina Mabula . Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Waziri - Husein Mwinyi Wizara ya Katiba na Sheria Waziri - Harrison Mwakyembe Wizara ya Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Waziri - January Makamba Wizara ya kilimo, mifugo na uvuvi Waziri- Mwigulu Nchem

SOMA YALIOJIRI KWENYE MAGEZETI LEO

Image
SOMA HAPAA!!!!!!!