HILI NDILO BARAZA JIPYA LA MAAZIRI

Jumla ya wizara ni 18 , Mawaziri ni 19.

Wizara ya Mambo ya Nje na EAC/ Kimataifa
- Augustino Mahiga, Naibu Waziri - Dk. Suzan Kolimba

Wazara wa Utamaduni, Sanaa na michezoWaziri-Nape Nnauye

Wizara ya Nishati na Madini
Waziri -Sospeter Muhongo na Naibu Waziri-Medard Kalemani

Wizara ya Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu
Waziri -Jenista Mhagama

Wizara ya ofisi ya Rais, Utumishi na utawala
mawaziri wawili - Simbachawene na Kairuki

Ofisi ya Makamu wa Rais/Muungano na Mazingira
Waziri - January Makamba Naibu waziri Luhaga Mpina
.
Wizara ya Mambo ya Ndani
Waziri ni Charles Kitwanga

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Makazi
Waziri wake ni Wiliam Lukuvi Naibu Angelina Mabula
.
Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Waziri - Husein Mwinyi

Wizara ya Katiba na Sheria
Waziri - Harrison Mwakyembe

Wizara ya Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira
Waziri - January Makamba

Wizara ya kilimo, mifugo na uvuvi
Waziri- Mwigulu Nchemba Naibu Waziri- William Tate Ole Nashon

Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
Waziri - Charles Mwijage

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
Waziri - Ummy Mwalimu Naibu - Dk Hamis kigwangalla

Wizara ya Sayansi, Teknolojia, Elimu na Ufundi
Waziri - bado hajapatikana - Naibu Waziri -Stela manyanya

Wizara ya Maliasili na Utalii
Waziri - bado hajapatikana na Naibu Waziri - Injinia Ramo Makani

Wizara wa Fedha na Mipango
Waziri - bado hajapatikana, Naibu Waziri - Dk. Ashantu Kijachi

Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
Waziri - bado hajapatikana, Naibu Waziri -Edwin Ngonyani.

INGAWA katika wizara nne (4) bado hakuna mawaziri na wizara hizo ni  
  1. WIZARA YA UJENI,UCHUKUZI NA MAWASILIANO
  2. WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO
  3. WIZARA YA SAYANSI, TECHNOLOGY, ELIMU NA UFUNDI
  4. WIZARA YA MALIASILI NA UTALII

Comments