Posts

HII NDIO TOP TEN YA MASHAIRI YA NYIMBO ZILIZOTAFUTWA SANA MTANDAONI MWAKA 2015

Image

MSIMAMO WA LIGI KUU BAADA YA MECHI ZA JANA NA JUZI

Image

MECHI ZA LEO LIGI KUU ENGLAND

Image

new audio vocalist beautiful

Image

Listen and Download ew music kutoka kwa Vocalist-ii love you

Image

Habari zilopo magazetini leo DEC 24

Image

Serikali yasitisha bomoabomoa kwa siku 14 kuwapa mda wa kuhama watu

Image
Serikali imesitisha zoezi la bomoabomoa kwa muda wa siku 14 ili kuwapa muda wa kutosha watu waliovamia na kuishi katika bonde la  Msimbazi Mkwajuni kuondoka ambapo imesisitiza kuwa baada ya siku hizo kuisha zoezi hilo litaanza tena na hivyo wahakikishe wanaondoka  wenyewe. Akitoa tamko hilo waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi Mh William Lukuvi amesema waliojenga katika eneo hilo wapo hapo  kinyume na sheria kwani kwa sabu ni mahali hatarishi.   Akaongeza kuwa kwanzi mwakani wizara yake itagawa kwa viongozi wa serikali za mitaa ramani za mipango miji ili waweze kuvisimamia kwa ukaribu ili kuepusha uwezekano wa kutokea ama kufanya ujezi holela.    katika eneo la Mkwajuni  makundi ya watu yanajitahidi kuhamaisha vitu vyao ili kuepusha uwezekano wa kupata hasara pindi tinga tinga litakapokuja huku wengine wakisema kuwa kuisha kwa muda ili kutoa nafasi watu kuhama ni jambo jema.   Aidha baadhi ya wananchi wamepongeza zoezi za bomoabomoa na kusema kuwa i